• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Manispaa ya Kahama
Halmashauri ya Manispaa ya Kahama

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kahama

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Ukaguzi
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Habari
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Usafi na Mazingira
    • Maendeleo ya Jamii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Uchumi, Elimu na Afya
  • Miradi
    • Miradi iliyopitishwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria
      • Sheria ndogo za mazingira
      • Sheria ndogo za Halmashauri
      • Tozo za Leseni za Biashara
    • Fomu
    • Miongozo
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari

"Watendaji wa Kata mnayo mamlaka ya Kulinda haki na misingi ya utawala bora " DAS Kahama

Imewekwa: January 8th, 2019

Katibu Tawala wa Wilaya ya Kahama Ndg. Timothy Ndanya amewataka Maafisa Watendaji Kata wa Mkoa wa Shinyanga Kulinda haki na misingi ya utawala bora kwa wananchi wanaowaongoza. Ameyasema hayo mapema leo alipokuwa akifungua mafunzo ya siku mbili kwa Maafisa Watendaji Kata wa Mkoa wa Shinyanga kwenye ukumbi wa Halmashauri ya Mji wa Kahama yaliyoratibiwa na tume ya haki za binadamu.

Bwana Ndanya amewaasa watendaji kufanya kazi kwa kuzingatia sheria zilizopo kwani kuna mambo mengi ambayo yanatokea lakini haki hazisimamiwi ipasavyo kitu ambacho kinasababisha malalamiko kwenye jamii. 

"Mafunzo haya yawe chachu ya kuleta ari na mwamko wa mabadiliko miongoni mwetu katika kulinda, kutetea na kudumisha haki za binadamu nchini hasa katika mkoa wetu huu wa Shinyanga, kila mmoja wetu ahakikishe elimu hii inasambaa kuanzia ngazi ya familia hadi katika maeneo yetu ya kazi" Amesema Ndanya.

Awali akitoa neno la utangulizi Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mipango, Sera, ufuatiliaji na Tathmini ambaye pia ni Mratibu wa Mpango Kazi wa Kitaifa wa Haki za binadamu Ndg. Laurent Burilo amesema kuwa lengo la mafunzo hayo ni kuwajengea uwezo watendaji wa Kata wote nchini ili waweze kupata uelewa wa masuala ya haki za bibadamu na misingi ya utawala bora.

Mafunzo haya ni ya siku mbili kuanzia leo Tarehe 8/1/2019 hadi kesho tarehe 9/1/2019 na yamejumuisha Maafisa watendaji Kata wote wa Mkoa wa Shinyanga.


Matangazo

  • INGIA HAPA KUPATA SALARY SLIP YAKO June 03, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI

    May 14, 2025
  • Kanuni za Maadili za Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani 2025

    April 19, 2025
  • Uboreshaji Awamu ya Pili wa Daftari la Mpiga Kura kuanza Mei Mosi

    April 16, 2025
  • Naibu Meya Manispaa ya Kahama ahimiza Ulipaji wa Ankara za Hati

    April 16, 2025
  • Angalia zote

Video

Ufafanuzi wa Mikopo ya Asilimia Kumi Manispaa ya Kahama
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Picha Mbalimbali
  • Matukio Mbalimbali
  • Kupata Salary slip
  • Mapato na Matumizi Oktoba -Desemba 2017
  • Taarifa ya Miradi ya Mwaka 2016/2017
  • Zabuni mbalimbali
  • Taarifa kwa umma

Viunganishi vinavyohusiana

  • MFUMO WA KUWASILISHA MALALAMIKO
  • Ajira Serikalini
  • NECTA
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Tovuti ya Ikulu

Wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    Barabara ya Boma, Kahama

    Anuani ya Posta: P.O.Box 472

    Simu: +255 282710032

    Simu: +255719679464

    Barua pepe: md@kahamamc.go.tz / info@kahamamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017. Halmashauri ya Manispaa Kahama. Haki zote zimehifadhiwa