• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Manispaa ya Kahama
Halmashauri ya Manispaa ya Kahama

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kahama

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Ukaguzi
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Kilimo
    • Sekta ya Viwanda
    • Sekta ya Mifugo
    • Sekta ya Uvuvi
    • Sekta ya Madini
    • Sekta ya Usafirishaji
    • Sekta ya Utamaduni
    • Sekta ya Biashara
    • Sekta ya Elimu
    • Sekta ya Maliasili
    • Sekta ya Mawasiliano
    • Sekta ya Mazingira
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Usafi na Mazingira
    • Maendeleo ya Jamii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Uchumi, Elimu na Afya
  • Miradi
    • Miradi iliyopitishwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria
      • Sheria ndogo za mazingira
      • Sheria ndogo za Halmashauri
      • Tozo za Leseni za Biashara
    • Fomu
    • Miongozo
    • JOINING INSTRUCTIONS 2020/2021
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari

Afya

HUDUMA ZA AFYA

Idarainawajibikanakutoahudumazaafyakatikahospitali,vituovyaafyanaZahanati, Kwasasaidadiyavituovinavyotoahudumakamaifuatavyo:-

Na
AINA
SERIKALI
BINAFSI
MASHIRIKA YA DINI (FBO)
JUMLA
1
Hospitali
1
1
0
2
2
VituovyaAfya
1
1
2
4
3
Zahanati
11
15
2
28

 

 HOSPITALI YA WILAYA

HospitaliyaMjiKahamanihospitaliyenyehadhiyaHospitaliyaWilayakimuundo. Inahudumiatakribaniwatu 1,200,162 waHalmashauriyaMjiwaKahamanapiaHalmashaurijiranizaMsalalana Ushetu nabaadhiyamaeneoyaGeita,Nzega,ShinyangavijijininaUlambo-Tabora.Idadiambayoinazidiwastaniwawagonjwa 350,000 inaotakiwakuhudumiakamaHospitaliyaWilaya. Hudumazinazopatikanahapanipamojanahudumaza:-

· Maabara

· Upatikanajiwadawakupitia pharmacy

· Vipimovya x-ray

· Upasuaji (Theatre)

· Mazoeziyaviungo (Physiotherapy)

· Chumbamaalum cha kuhifadhimaiti (Mortuary)

· Clinics mbalimbalizikiwemo

· Tibakwawagonjwawanaoishina VVU

· Afyaya mama namtoto

· Kisukari

· Ushaurinasahanakupima

· Magonjwaya kina mama

· Magonjwayanayoambukizwakwanjiayakujamiana

· Moyonashinikizo la damu

HOSPITALI YA MAGAI

HospitaliyaMagaiipokatika Kata yaKahamaMjinaniyabinafsi. Inahudumiatakribaniwatu 800 waHalmashauriyaMjiwaKahamanapiaHalmashaurijiranizaMsalalana Ushetu nabaadhiyamaeneoyaGeita,Nzega,ShinyangavijijininaUlambo-Tabora. Hudumazinazopatikanahapanipamojanahudumaza:-

· UpasuajiMdogo (minor theatre) napasuajiwakinamamawajawazitonawatotowachanga

· KlinikiyaKifuakikuu/Ukoma TB/HIV

· Kilinikiyakisukarinashinikizo la damu

· Kitengo cha macho

· Kitengo cha meno

· Kitengo cha maabara

· Kitengo cha madawa (Pharmacy)

· UshauriNasahanaUpimajiwaVirusivya UKIMWI (PITC)

VITUO VYA AFYA

  •  KITUO CHA AFYA MWENDAKULIMA

Mwendakulimanikituokimoja cha Afya cha SerikalikatikaHalmashauriyaMjiKahama, kipoumbaliwakilometa 12 kutokaKahamamjinibarabarayaIsaka.Kinahudumiaidadiyawatu 8,846. Kituo cha afyaMwendakulimakinajumlayawatumishi 32 kwamchanganuoufuatao: Tabibu 4;Afisa Muuguzi Msaidizi2; Muuguzi 13,Mhudumu 5,Mteknolojia MsaidiziMaabara 2,Msaidizi waafya 1,Afisa Muuguzi 1,Daktari Msaidizi 2, MtechnologiawaMaabara 1, Mtekinologiawadawa 1 namlinzi 1 anayelipiwamshaharanaMgodiwadhahabuwa ACACIA.

Hudumazinazopatikana

Hudumakwawagonjwawanjezinatolewamasaa 24. AidhahudumazaWazazi, maabara, ushaurinasaha, tibakwawagonjwawaKifuakikuunaukoma, hudumayaAfyaya mama namtoto, chanjo, hudumazajamii namajumbani, vijana, hudumayakinywanameno, hudumayadawakwawaviupiahutolewa.

  •  KITUO CHA AFYA LOWA

Kituo cha AfyaLowakipokata yaNyandekwaHalmashauriyaMjiKahama.Kituohikini cha shirika la Dini (FBO).

Hudumazinazopatikana

Hudumakwawagonjwawanjenimasaa 24. Hudumazawazazi, maabara, ushaurinasaha, tibakwawagonjwawaKifuakikuunaukoma. HudumayaAfyayamama namtoto, chanjo, hudumazajamiinazamajumbani, vijana, hudumayakinywanamenonaupasuajimdogopiahutolewakatikakituohiki

3. KITUO CHA AFYA MPERA.

Kituo cha AfyaMperakipokata yaIsageheHalmashauriyaMjiKahama.Kituohikini cha shirika la Dini (FBO).

Hudumazinazopatikana

Hudumakwawagonjwawanjenimasaa 24. Hudumazawazazi, maabara, ushaurinasaha, tibakwawagonjwawaKifuakikuunaukoma. HudumayaAfyayamama namtoto, chanjo, hudumazajamiinazamajumbani, vijana, hudumayakinywanamenonaupasuajimdogopiahutolewakatikakituohiki 

3. KITUO CHA AFYA IGALILIMI.

Kituo cha AfyaIgalilimikipokata yaNyasubiHalmashauriyaMjiKahama.Kituohikini cha binafsi.

Hudumazinazopatikana

Hudumakwawagonjwawanjenimasaa 24. Hudumazawazazi, maabara, ushaurinasaha, tibakwawagonjwawaKifuakikuunaukoma. HudumayaAfyayamama namtoto, chanjo, hudumazajamiinazamajumbani, vijana, hudumayakinywanamenonaupasuajimdogopiahutolewakatikakituohiki 

ZAHANATI ZA SERIKALI ZILIZOPO

NA
JINA
KATA
1
KAGONGWA
KAGONGWA
2
ISAGEHE
ISAGEHE
3
NGOGWA
NGOWA
4
SANGILWA
MONDO
5
KINAGA
KINAGA
6
KILAGO
KILAGO
7
IYENZE
IYENSE
8
MWIME
MWENDAKULIMA
9
SEEKE
ZONGOMELA
10
ZONGOMELA
ZONGOMELA
11
NYAMBULA
ZONGOMELA

HudumazinazotolewakatikavituovyaZahanatihizini:-

· Matibabuyamagonjwambalimbali

· Hudumayaafyayauzazi,nipamojanachanjo, makuzi , ujauzito, uzazisalama, uzaziwammpango

· Kufanyavipimombalimbali (maabara)

Matangazo

  • NAFASI ZA KAZI May 24, 2022
  • INGIA HAPA KUPATA SALARY SLIP YAKO December 12, 2017
  • Muhtasari wa Bajeti ya Halmashauri ya Mji wa Kahama 2018/2019 October 10, 2018
  • Mapato na Mtumizi kufikia Machi 31, 2019 April 15, 2019
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Kila la heri Darasa la Saba

    October 05, 2022
  • PICHA: Bonanza Kahama MC vs Mkalama DC

    September 24, 2022
  • Ofisi mpya ya Kata ya Busoka yazinduliwa, Wadau washiriki ujenzi

    September 23, 2022
  • KARAGWE DC ZIARANI KAHAMA

    September 20, 2022
  • Angalia zote

Video

Maagizo ya Katibu Mkuu Kiongozi kwa Watumishi wa Umma
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Picha Mbalimbali
  • Matukio Mbalimbali
  • Kupata Salary slip
  • Mapato na Matumizi Oktoba -Desemba 2017
  • Taarifa ya Miradi ya Mwaka 2016/2017
  • Zabuni mbalimbali
  • Taarifa kwa umma

Viunganishi vinavyohusiana

  • MFUMO WA KUWASILISHA MALALAMIKO
  • Ajira Serikalini
  • NECTA
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Tovuti ya Ikulu

Wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    Barabara ya Boma, Kahama

    Anuani ya Posta: P.O.Box 472

    Simu: +255 282710032

    Simu: +255719679464

    Barua pepe: md@kahamamc.go.tz / info@kahamamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017. Halmashauri ya Manispaa Kahama. Haki zote zimehifadhiwa