• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Manispaa ya Kahama
Halmashauri ya Manispaa ya Kahama

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kahama

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Ukaguzi
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Habari
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Usafi na Mazingira
    • Maendeleo ya Jamii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Uchumi, Elimu na Afya
  • Miradi
    • Miradi iliyopitishwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria
      • Sheria ndogo za mazingira
      • Sheria ndogo za Halmashauri
      • Tozo za Leseni za Biashara
    • Fomu
    • Miongozo
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari

Wanachi Kahama wahimizwa Kushiriki shughuli za Maendeleo

Imewekwa: February 3rd, 2020

Wananchi Wilayani Kahama wamehimizwa kushiriki kwenye shughuli za Maendeleo kwani jukumu la Serikali ni kumalizia pale penye jitihada za Jamii. Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Wilayani Kahama Mhe. Thomas Mnyongwa alipokuwa kwenye ziara ya Kamati ya Siasa ya Wilaya ya kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya Chama Tawala tangu 2015 hadi sasa kwenye Halmashauri ya Mji wa Kahama.

"Kamati imeridhika kwa utendaji na utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya Chama Tawala kwani tumejionea wenyewe, ila tunapaswa kujua kuwa Wananchi tumeumbwa kuwajibika, lazima viongozi tuwaambie wananchi haya mambo..wachangie ili kuwahakikishia watoto elimu bora". Amesema Mhe. Mnyongwa.

Kamati ya Siasa Wilaya ya Kahama imeanza kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya Chama Tawala kwenye Halmashauri ya Mji wa Kahama mapema leo na itahitimisha Kesho.

Miradi iliyotembelewa ni ya Sekta ya Afya na Elimu, Utawala na Viwanda. Ambapo kwa siku ya Kwanza kwenye upande wa elimu Kamati imetembelea Ujenzi unaofanywa katika Shule za sekondari Isagehe na Nyihogo, Shule za Msingi za Mayila, Bukondamoyo, Iboja na Shunu. kwa Upande wa Afya Kamati imetembelea Ujenzi wa Jengo la Wagonjwa wa nje Hospitali ya Mji wa Kahama na Kituo cha Afya Nyasubi. Kwenye Viwanda Kamati imetembea eneo la Viwanda Chapulwa na Zongomera "Dodoma". Pia kamati imetembelea ujenzi wa Jengo la Utawala linalojengwa kwenye eneo la Ofisi ya Halmashauri ya Mji wa Kahama. Baadhi ya picha za ziara hiyo hizi hapa chini:



Matangazo

  • INGIA HAPA KUPATA SALARY SLIP YAKO June 03, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI

    May 14, 2025
  • Kanuni za Maadili za Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani 2025

    April 19, 2025
  • Uboreshaji Awamu ya Pili wa Daftari la Mpiga Kura kuanza Mei Mosi

    April 16, 2025
  • Naibu Meya Manispaa ya Kahama ahimiza Ulipaji wa Ankara za Hati

    April 16, 2025
  • Angalia zote

Video

Ufafanuzi wa Mikopo ya Asilimia Kumi Manispaa ya Kahama
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Picha Mbalimbali
  • Matukio Mbalimbali
  • Kupata Salary slip
  • Mapato na Matumizi Oktoba -Desemba 2017
  • Taarifa ya Miradi ya Mwaka 2016/2017
  • Zabuni mbalimbali
  • Taarifa kwa umma

Viunganishi vinavyohusiana

  • MFUMO WA KUWASILISHA MALALAMIKO
  • Ajira Serikalini
  • NECTA
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Tovuti ya Ikulu

Wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    Barabara ya Boma, Kahama

    Anuani ya Posta: P.O.Box 472

    Simu: +255 282710032

    Simu: +255719679464

    Barua pepe: md@kahamamc.go.tz / info@kahamamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017. Halmashauri ya Manispaa Kahama. Haki zote zimehifadhiwa