• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Manispaa ya Kahama
Halmashauri ya Manispaa ya Kahama

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kahama

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Ukaguzi
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Habari
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Usafi na Mazingira
    • Maendeleo ya Jamii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Uchumi, Elimu na Afya
  • Miradi
    • Miradi iliyopitishwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria
      • Sheria ndogo za mazingira
      • Sheria ndogo za Halmashauri
      • Tozo za Leseni za Biashara
    • Fomu
    • Miongozo
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari

Vijana wajiunga na kuunda SACCOS, Halmashauri yawawezesha Milioni 100

Imewekwa: June 12th, 2018

Halmashauri ya Mji wa Kahama imeiwezesha SACCOS ya Vijana CDT Milioni Miamoja ili iweze kusimama na kufanya kazi. SACCOS hii inaundwa na vijana wanaofanya biashara ndogondogo maarufu kama Wamachinga ambao wametolewa mtaani na kuwekwa kwenye eneo maalum lililotengwa kwa ajili yao.

Akikabidhi hundi hiyo kwa Vijana hao Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Bi. Zainab Telack amewaasa Vijana kuitumia fursa hiyo kwa kujituma kwa uaminifu ili waweze kuyaona matunda ya SACCOS yao. Aidha Bi. Tellack amewataka vijana wengine kwenda kufanya biashara katika maeneo rsmi yaliyotengwa na kujiunga katika vikundi ili waweze kusaidiwa kujikwamua kiuchumi.

"Msingefika hapo kama mngekuwa bado mpo huko mitaani....hakuna mtu anaweza kutoa fedha kwa mtu ambaye hajulikani anakaa wapi, hajulikani anafanya nini lakini atapatikana wapi" amesema Bi. Tellack.

Katika hatua nyingine, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Kahama Ndg. Anderson D. Msumba amewaambia vijana kuwa fedha ya vijana bado zipo kikubwa ni kufuata utaratibu tu.

"Bado kuna zaidi ya Milioni miambili kwa ajili ya Vijana, jiungeni katika vikundi fuateni utaratibu kuanzia ngazi za mtaa na WDC sisi tutatoa mikopo" Amesema Msumba.

Pia ameahidi kwa vijana wote wa Kahama yeyote atakayelima Kuanzia ekari tano msimu ujao Halmashauri itamsaidia Pembejeo za kilimo yani Mbegu, Mbolea na Dawa bure.

Matangazo

  • INGIA HAPA KUPATA SALARY SLIP YAKO June 03, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI

    May 14, 2025
  • Kanuni za Maadili za Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani 2025

    April 19, 2025
  • Uboreshaji Awamu ya Pili wa Daftari la Mpiga Kura kuanza Mei Mosi

    April 16, 2025
  • Naibu Meya Manispaa ya Kahama ahimiza Ulipaji wa Ankara za Hati

    April 16, 2025
  • Angalia zote

Video

Ufafanuzi wa Mikopo ya Asilimia Kumi Manispaa ya Kahama
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Picha Mbalimbali
  • Matukio Mbalimbali
  • Kupata Salary slip
  • Mapato na Matumizi Oktoba -Desemba 2017
  • Taarifa ya Miradi ya Mwaka 2016/2017
  • Zabuni mbalimbali
  • Taarifa kwa umma

Viunganishi vinavyohusiana

  • MFUMO WA KUWASILISHA MALALAMIKO
  • Ajira Serikalini
  • NECTA
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Tovuti ya Ikulu

Wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    Barabara ya Boma, Kahama

    Anuani ya Posta: P.O.Box 472

    Simu: +255 282710032

    Simu: +255719679464

    Barua pepe: md@kahamamc.go.tz / info@kahamamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017. Halmashauri ya Manispaa Kahama. Haki zote zimehifadhiwa