• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Manispaa ya Kahama
Halmashauri ya Manispaa ya Kahama

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kahama

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Ukaguzi
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Habari
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Usafi na Mazingira
    • Maendeleo ya Jamii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Uchumi, Elimu na Afya
  • Miradi
    • Miradi iliyopitishwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria
      • Sheria ndogo za mazingira
      • Sheria ndogo za Halmashauri
      • Tozo za Leseni za Biashara
    • Fomu
    • Miongozo
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari

Naibu Waziri Kakunda amaliza Mgogoro wa umiliki wa Majengo yaliyokuwa yakishikiliwa na Ushetu DC, ayakabidhi rasmi Halmashauri ya Mji Kaham

Imewekwa: November 30th, 2017

Hatimaye sakata la kugombea majengo yaliyokuwa ya halmashauri ya Wilaya Kahama lililokuwa likifanywa na madiwani wa halmashauri mbili za Ushetu na mji limemalizika baada ya naibu waziri ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mh. Joseph Kakunda kuyakabidhi majengo hayo kwa Halmashauri ya Mji Kahama.

Kabla ya hapo baraza la madiwani wa halmashauri ya Ushetu chini ya mwenyekiti wake Juma Kimisha lilipinga agizo la katibu mkuu Tamisemi Musa Iyombe la kutaka majengo hayo yakabidhiwe halmashauri ya mji Kahama baada ya Ushetu kuondoka kwenda makao makuu yake huko Nyamilangano umbali wa kilometa 72 kutoka Kahama mjini.

Awali mwaka 2012 halmashauri ya wilaya ya Kahama iligawanyika mara 3 na kuzaa Ushetu, mji Kahama na Msalala huku katika mgawanyiko wa mali Ushetu ambayo kabla hajabadili jina ilikuwa ndiyo halmashauri mama iliyozaa Msalala na mji hivyo ilibaki na majengo ya ofisi zote za wilaya.

Mh. Kakunda amemuagiza Mkurugenzi wa Mji Kahama ndg. Anderson D. Msumba kuyatumia majengo hayo kwa matumizi ya ofisi na si vinginevyo ambapo Mkurugenzi wa Mji amemuahidi Waziri kuhamia majengo hayo kabla ya mwaka mpya 2018.

Matangazo

  • INGIA HAPA KUPATA SALARY SLIP YAKO June 03, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI

    May 14, 2025
  • Kanuni za Maadili za Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani 2025

    April 19, 2025
  • Uboreshaji Awamu ya Pili wa Daftari la Mpiga Kura kuanza Mei Mosi

    April 16, 2025
  • Naibu Meya Manispaa ya Kahama ahimiza Ulipaji wa Ankara za Hati

    April 16, 2025
  • Angalia zote

Video

Ufafanuzi wa Mikopo ya Asilimia Kumi Manispaa ya Kahama
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Picha Mbalimbali
  • Matukio Mbalimbali
  • Kupata Salary slip
  • Mapato na Matumizi Oktoba -Desemba 2017
  • Taarifa ya Miradi ya Mwaka 2016/2017
  • Zabuni mbalimbali
  • Taarifa kwa umma

Viunganishi vinavyohusiana

  • MFUMO WA KUWASILISHA MALALAMIKO
  • Ajira Serikalini
  • NECTA
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Tovuti ya Ikulu

Wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    Barabara ya Boma, Kahama

    Anuani ya Posta: P.O.Box 472

    Simu: +255 282710032

    Simu: +255719679464

    Barua pepe: md@kahamamc.go.tz / info@kahamamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017. Halmashauri ya Manispaa Kahama. Haki zote zimehifadhiwa