• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Manispaa ya Kahama
Halmashauri ya Manispaa ya Kahama

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kahama

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Ukaguzi
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Habari
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Usafi na Mazingira
    • Maendeleo ya Jamii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Uchumi, Elimu na Afya
  • Miradi
    • Miradi iliyopitishwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria
      • Sheria ndogo za mazingira
      • Sheria ndogo za Halmashauri
      • Tozo za Leseni za Biashara
    • Fomu
    • Miongozo
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari

"Msithubutu kuwa Mawakala wa Wafanyabiashara wakubwa" DC Kahama

Imewekwa: December 27th, 2018

Mkuu wa Wilaya ya Kahama Mhe. Anamringi Macha amewaonya wafanyabishara ndogondogo kutokubali kuwa mawakala wa Wafanya biashara wakubwa katika matumizi ya Vitambulisho vya wafanyabiashara ndogo ndogo. Ameyasema hayo mapema leo katika tukio la ufunguzi wa ugawaji wa Vitambulisho kwa Wafanyabiashara ndogondogo lililo fanyika kwenye ukumbi wa Halmashauri ya Mji wa Kahama Wilayani hapa.

"Hivi ni vitambulisho vya Wafanya biashara ndogo ndogo na sio vitambulisho vya Wafanya biashara wadogo..naomba tuelewane kwa hilo, Wafanya biashara ndogo ndogo ni wale ambao wanafanya biashara ambayo mapato yake ghafi sio zaidi ya milioni nne kwa Mwaka, na tumesikia kuna wafanyabiashara wakubwa wamewaambia watu waende kuchukua vitambulisho ili wawatumie kuuza bidhaa zao mtaani, kwa hili niwaombe wafanya biashara ndogondogo msije kwenda kuwa mawakala wa hao wafanya biashara, Ukikakutwa unafanya hivyo utakamatwa na utachukuliwa hatua". Amesema Macha.

Mhe. Macha amesema kuwa Kwa Wilaya ya Kahama  kwa awamu ya kwanza imepokea vitambulisho elfu kumi na vitagawiwa kwa wafanyabiashara ndogo ndogo ambao watakuwa wamekidhi vigezo. Vitambulisho vitagaharimu shilingi elfu Ishirini kwa mtu mmoja.

Aidha kwa upande wa wafanyabiashara wameonekana kulipokea vizuri zoezi hili na wamejitokeza kwa wingi kuchukua fomu. 

Fomu zitaendelea kutolewa katika ofisi za Kata na Halmashauri kwa muda wa kazi.


Matangazo

  • INGIA HAPA KUPATA SALARY SLIP YAKO June 03, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI

    May 14, 2025
  • Kanuni za Maadili za Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani 2025

    April 19, 2025
  • Uboreshaji Awamu ya Pili wa Daftari la Mpiga Kura kuanza Mei Mosi

    April 16, 2025
  • Naibu Meya Manispaa ya Kahama ahimiza Ulipaji wa Ankara za Hati

    April 16, 2025
  • Angalia zote

Video

Ufafanuzi wa Mikopo ya Asilimia Kumi Manispaa ya Kahama
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Picha Mbalimbali
  • Matukio Mbalimbali
  • Kupata Salary slip
  • Mapato na Matumizi Oktoba -Desemba 2017
  • Taarifa ya Miradi ya Mwaka 2016/2017
  • Zabuni mbalimbali
  • Taarifa kwa umma

Viunganishi vinavyohusiana

  • MFUMO WA KUWASILISHA MALALAMIKO
  • Ajira Serikalini
  • NECTA
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Tovuti ya Ikulu

Wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    Barabara ya Boma, Kahama

    Anuani ya Posta: P.O.Box 472

    Simu: +255 282710032

    Simu: +255719679464

    Barua pepe: md@kahamamc.go.tz / info@kahamamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017. Halmashauri ya Manispaa Kahama. Haki zote zimehifadhiwa