• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Manispaa ya Kahama
Halmashauri ya Manispaa ya Kahama

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kahama

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Ukaguzi
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Habari
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Usafi na Mazingira
    • Maendeleo ya Jamii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Uchumi, Elimu na Afya
  • Miradi
    • Miradi iliyopitishwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria
      • Sheria ndogo za mazingira
      • Sheria ndogo za Halmashauri
      • Tozo za Leseni za Biashara
    • Fomu
    • Miongozo
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari

Kamati ya Kupinga Ukatili kwa Wanawake na watoto yajengewa Uwezo

Imewekwa: September 5th, 2019

Kamati ya Kupinga Ukatili wa Wanawake na Watoto ya Halmashauri ya Mji wa Kahama imejengewa uwezo kwa kupewa mafunzo ili iweze kusimamia majukumu yake ya msingi.

Mafunzo hayo yamefanyika mapema jana Septemba 4, 2019 kwenye ukumbi wa Halmashauri ya Mji wa Kahama.

Akifungua mafunzo hayo Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Kahama ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati hiyo Ndg. Anderson Msumba amesema kuwa bado kuna wimbi la watoto wanaoishi kwenye mazingira hatarishi na amebainisha kuwa moja kati ya vyanzo vikubwa ni wazazi na wananchi kutowajibika katika nafasi zao

"Kama mtu unaona huna uwezo wa kulea watoto kumi kwanini uzae? Halafu unakuta mtu ameshamzalisha mwananamke kisha ameona hali ni mbaya anaamua kuiacha familia. Hii ndo inayochangia ongezeko la watoto wanaoishi katika mazingira hatarishi.  Juzi juzi kuna wazazi wamewaacha watoto yani Baba aliondoka nabkawaacha watoto na Mama wakambo, naye mama wakambo akaamua kuondoka akawaacha watoto peke yao ndio wahangaike kutafuta ridhiki ya kila siku.. Sasa kupitia Kamati hii niwaombe muende mkafanye kazi kwa dhati kabisa ili twende tukaondoe haya mambo" Amesema DC

Kamati hii ipo chini ya Mpango wa Taifa wa Kupinga Ukatili kwa Wanawake na Watoto "MTAKUWWA" na inaundwa na wataalamu, taasisi na wawakilishi wa makundi mbali mbali yakiwemo ya Dini.

Mafunzo hayo yamefadhiliwa na HUHESO Foundation kupitia mradi wa "Mwanamke Amka"

Matangazo

  • INGIA HAPA KUPATA SALARY SLIP YAKO June 03, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI

    May 14, 2025
  • Kanuni za Maadili za Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani 2025

    April 19, 2025
  • Uboreshaji Awamu ya Pili wa Daftari la Mpiga Kura kuanza Mei Mosi

    April 16, 2025
  • Naibu Meya Manispaa ya Kahama ahimiza Ulipaji wa Ankara za Hati

    April 16, 2025
  • Angalia zote

Video

Ufafanuzi wa Mikopo ya Asilimia Kumi Manispaa ya Kahama
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Picha Mbalimbali
  • Matukio Mbalimbali
  • Kupata Salary slip
  • Mapato na Matumizi Oktoba -Desemba 2017
  • Taarifa ya Miradi ya Mwaka 2016/2017
  • Zabuni mbalimbali
  • Taarifa kwa umma

Viunganishi vinavyohusiana

  • MFUMO WA KUWASILISHA MALALAMIKO
  • Ajira Serikalini
  • NECTA
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Tovuti ya Ikulu

Wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    Barabara ya Boma, Kahama

    Anuani ya Posta: P.O.Box 472

    Simu: +255 282710032

    Simu: +255719679464

    Barua pepe: md@kahamamc.go.tz / info@kahamamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017. Halmashauri ya Manispaa Kahama. Haki zote zimehifadhiwa