• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Manispaa ya Kahama
Halmashauri ya Manispaa ya Kahama

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kahama

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Ukaguzi
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Habari
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Usafi na Mazingira
    • Maendeleo ya Jamii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Uchumi, Elimu na Afya
  • Miradi
    • Miradi iliyopitishwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria
      • Sheria ndogo za mazingira
      • Sheria ndogo za Halmashauri
      • Tozo za Leseni za Biashara
    • Fomu
    • Miongozo
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari

BARRICK BUZWAGI YASHIRIKI KUPAMBANA VITA YA CORONA

Imewekwa: April 8th, 2020

Mgodi wa Dhahabu wa Barrick Buzwagi umeamua kushirikiana na Serikali katika kupambana na Ugonjwa wa Corona kwa kukabidhi mapipa ya kunawia mikono na kusaidia utoaji elimu kwa umma.

Makabidhiano ya Vifaa hivyo umefanyika mapema leo kwenye Kituo cha Afya Mwendakulima kilichopo kata ya Mwendakulima. 

Zaidi ya Mapipa 30 yamekabidhiwa kwa Halmashauri ya Mji wa Kahama. 

Akipokea vifaa hivyo kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya ya Kahama, Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Mji wa Kahama Ndg. Lucas Ngamtwa amewashukuru Barrick kwa Moyo wa kujitoa. 

Kwa upande wake Meneja wa Mgodi huo Ndg. Benedict Busunzu amesema kuwa Barrick haiwezi kukaa kimya katika suala la kupambana na Corona kwani hili ni janga la dunia hivyo nao wana jukumu la kushirikiana na Serikali katika Mapambano hayo.

Baadhi ya picha za tukio hilo hizi hapa Chini:

Meneja wa Mgodi wa Barrick Buzwagi Ndg. Benedict Busunzu akitoa Maelezo wakati akikabidhi Vifaa hivyo. 


Afisa Afya wa Halmashauri ya Mji wa Kahama Ndg. Basil Gervas akitoa neno katika Makabidhiano hayo. 


Mganga Mkuu wa Mji wa Kahama, Dkt. Lucas Ngamtwa akitoa shukurani kwa Mgodi wa Barrick . 


Meneja wa Mgodi wa Barrick Buzwagi Ndg. Benedict Busunzu akinawa  ikiwa kama ishara ya kufungua matumizi ya mapipa hayo. 



Baadhi ya Mapipa ya kunawia yaliyotolewa na Mgodi wa Barrick kwa Halmashauri ya Mji wa Kahama. 


Mganga Mkuu wa Mji wa Kahama Dkt. Lucas Ngamtwa (Kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na Meneja wa Mgodi wa Barrick Buzwagi Ndg. Benedict Busunzu baada ya Makabidhiano ya vifaa vya kujikinga na Corona. 


Wataalamu wa Afya wa Mji wa Kahama wakiwa katika picha ya pamoja na Wawakilishi wa Mgodi wa Barrick Buzwagi waliofika katika Makabidhiano hayo. 


Matangazo

  • INGIA HAPA KUPATA SALARY SLIP YAKO June 03, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI

    May 14, 2025
  • Kanuni za Maadili za Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani 2025

    April 19, 2025
  • Uboreshaji Awamu ya Pili wa Daftari la Mpiga Kura kuanza Mei Mosi

    April 16, 2025
  • Naibu Meya Manispaa ya Kahama ahimiza Ulipaji wa Ankara za Hati

    April 16, 2025
  • Angalia zote

Video

Ufafanuzi wa Mikopo ya Asilimia Kumi Manispaa ya Kahama
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Picha Mbalimbali
  • Matukio Mbalimbali
  • Kupata Salary slip
  • Mapato na Matumizi Oktoba -Desemba 2017
  • Taarifa ya Miradi ya Mwaka 2016/2017
  • Zabuni mbalimbali
  • Taarifa kwa umma

Viunganishi vinavyohusiana

  • MFUMO WA KUWASILISHA MALALAMIKO
  • Ajira Serikalini
  • NECTA
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Tovuti ya Ikulu

Wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    Barabara ya Boma, Kahama

    Anuani ya Posta: P.O.Box 472

    Simu: +255 282710032

    Simu: +255719679464

    Barua pepe: md@kahamamc.go.tz / info@kahamamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017. Halmashauri ya Manispaa Kahama. Haki zote zimehifadhiwa