• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Manispaa ya Kahama
Halmashauri ya Manispaa ya Kahama

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kahama

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Ukaguzi
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Habari
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Usafi na Mazingira
    • Maendeleo ya Jamii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Uchumi, Elimu na Afya
  • Miradi
    • Miradi iliyopitishwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria
      • Sheria ndogo za mazingira
      • Sheria ndogo za Halmashauri
      • Tozo za Leseni za Biashara
    • Fomu
    • Miongozo
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari

Timu ya Wataalamu (CMT) Mji wa Kahama yaamua kufanya Vikao vyake Mashuleni

Imewekwa: September 8th, 2020

Timu ya Wataalamu wa Halmashauri ya Mji wa Kahama (CMT) ikiongozwa na Mkurugenzi wa Mji Ndg. Anderson Msumba imeamua kuendesha baadhi ya Vikao vyake vya Mwezi kwenye maeneo ya Shule ambako kuna changamoto mbalimbali ili wajionee wenyewe na hatimaye wafanye maamuzi yenye matokeo chanya na yanayoakisi uhalisia. Kikao cha kwanza kimefanyika mapema leo kwenye Shule ya Msingi Ntungulu iliyopo kata ya Kilago ambako moja kati ya maazimio  ya Kikao hicho ni kuhakikisha wanapatiwa huduma ya maji japo ya visima vifupi na nyumba zote za Watumishi zinazojengwa ambazo zipo pembezoni mwa mji lazima ziwekewe Umeme wa Jua, seti za runinga ikiwemo Dishi na King'amuzi ili kuwafanya watumishi hao kujisikia wapo sawa na wale wanaoishi Mijini na kuwajengea morali ya kufanya kazi.

"Kwanza niseme tumefarijika sana kwa ukarimu wenu, lakini lengo kubwa la kuja huku ni kujionea maendeleo ya ujenzi wa hizi nyumba za walimu ili tupate Majawabu,na tumekubaliana huu mradi wa hizi nyumba  kufikia Septemba 18 walimu muwe mmeingia ndani kukiwa na Umeme wa Jua, Dishi la TV na TV, na tukitoka hapa leo tunakwenda kuzungumza na RUWASA aje mtu wa Maji aangalie uwezekano wa kuweka kisima kifupi kwakuwa huwezi kuweka 'tiles' na vyoo vya ndani kukiwa hakuna maji, na tunajua ili muweze kufanya kazi na hawa watoto wetu lazima muwe kwenye mazingira rafiki " Amesema Mkurugenzi.

Kwa upande wao Walimu wa Shule hiyo wamemshukuru Mkurugenzi na timu yake kwa kufika na kufanyia kikao shuleni hapo kwani imewapa morali kubwa ya kujituma katika ufundishaji.



Matangazo

  • INGIA HAPA KUPATA SALARY SLIP YAKO June 03, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI

    May 14, 2025
  • Kanuni za Maadili za Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani 2025

    April 19, 2025
  • Uboreshaji Awamu ya Pili wa Daftari la Mpiga Kura kuanza Mei Mosi

    April 16, 2025
  • Naibu Meya Manispaa ya Kahama ahimiza Ulipaji wa Ankara za Hati

    April 16, 2025
  • Angalia zote

Video

Ufafanuzi wa Mikopo ya Asilimia Kumi Manispaa ya Kahama
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Picha Mbalimbali
  • Matukio Mbalimbali
  • Kupata Salary slip
  • Mapato na Matumizi Oktoba -Desemba 2017
  • Taarifa ya Miradi ya Mwaka 2016/2017
  • Zabuni mbalimbali
  • Taarifa kwa umma

Viunganishi vinavyohusiana

  • MFUMO WA KUWASILISHA MALALAMIKO
  • Ajira Serikalini
  • NECTA
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Tovuti ya Ikulu

Wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    Barabara ya Boma, Kahama

    Anuani ya Posta: P.O.Box 472

    Simu: +255 282710032

    Simu: +255719679464

    Barua pepe: md@kahamamc.go.tz / info@kahamamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017. Halmashauri ya Manispaa Kahama. Haki zote zimehifadhiwa