• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Manispaa ya Kahama
Halmashauri ya Manispaa ya Kahama

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kahama

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Ukaguzi
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Habari
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Usafi na Mazingira
    • Maendeleo ya Jamii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Uchumi, Elimu na Afya
  • Miradi
    • Miradi iliyopitishwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria
      • Sheria ndogo za mazingira
      • Sheria ndogo za Halmashauri
      • Tozo za Leseni za Biashara
    • Fomu
    • Miongozo
    • Fursa za Uwekezaji
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Matukio
    • Habari

MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI YAOMBWA KUSHIRIKIANA NA SERIKALI KUELIMISHA JAMII KUHUSU HAKI ZA MTOTO

Imewekwa: June 16th, 2017

Mashirika yasiyo ya kiserikali yanayoshughulikia haki za binadamu na taasisi za dini waombwa kushirikiana na serikali katika kuelimisha jamii kuhusu haki za mtoto na kushiriki kikamilifu katika kuimarisha ulinzi na fursa sawa kwa watoto ili kuwa na maendeleo endelevu. Haya yamesemwa na Mkuu wa Wilaya Ya Kahama Ndg. Fadhili Nkurlu aliye mwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga katika maadhimisho ya siku ya Mtoto wa Afrika yaliyofanyika Kata ya Mwendakulima Wilayani Kahama Kimkoa.

Aidha katika taarifa iliyoandaliwa na Halmashauri ya Mji wa Kahama iliyowasomwa Kwa mgeni rasmi inaonesha kuwa Halmashauri ya Mji wa Kahama ina mikakati mbali mbali iliyojiwekea katika kumlinda mtoto kwa kuhimiza na kuendeleza haki zake za msingi.

Mikakati hiyo ni pamoja na:

1. Kuendelea kusimamia, kuelimisha jamii na kuhakikisha mtoto anapata haki yake ya kuishi.

2. Kuendelea kuelimisha jamii kuhusu dhana ya mtoto na kuwathamini watoto wao kama hazina ya baadae.

3. kuwachukulia hatua wote wanaojihusisha na unyayasaji na ukatilia dhidi ya watoto na wanaotelekeza watoto wao.

4. Kuendelea Kuelimisha jamii na hasa wazai kuwathamini watoto wao kama hazina kwa maisha yao ya baadae. 

Kauli mbiu ya siku ya mtoto wa Afrika mwaka huu 2017 ni "Maendeleo endelevu 2030; Imarisha ulinzi na fursa sawa kwa watoto"

Siku hii ni muhimu sana kwa jamii ya Kitanzania kwakuwa inatoa fursa ya kukumbushana kutetea, kulindana kusimamia haki, usawa, ulinzi na maswala yote

yanayohusiana na Maendeleo ya mtoto. Pia kubaini na kuchambua matatizo yanayowakabili watoto kwa lengo la kuyatolea ufumbuzi.



Matangazo

  • INGIA HAPA KUPATA SALARY SLIP YAKO June 03, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI

    May 14, 2025
  • Kanuni za Maadili za Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani 2025

    April 19, 2025
  • Uboreshaji Awamu ya Pili wa Daftari la Mpiga Kura kuanza Mei Mosi

    April 16, 2025
  • Naibu Meya Manispaa ya Kahama ahimiza Ulipaji wa Ankara za Hati

    April 16, 2025
  • Angalia zote

Video

Ufafanuzi wa Mikopo ya Asilimia Kumi Manispaa ya Kahama
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Picha Mbalimbali
  • Matukio Mbalimbali
  • Kupata Salary slip
  • Mapato na Matumizi Oktoba -Desemba 2017
  • Taarifa ya Miradi ya Mwaka 2016/2017
  • Zabuni mbalimbali
  • Taarifa kwa umma

Viunganishi vinavyohusiana

  • MFUMO WA KUWASILISHA MALALAMIKO
  • Ajira Serikalini
  • NECTA
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Tovuti ya Ikulu

Wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    Barabara ya Boma, Kahama

    Anuani ya Posta: P.O.Box 472

    Simu: +255 282710032

    Simu: +255719679464

    Barua pepe: md@kahamamc.go.tz / info@kahamamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2017. Halmashauri ya Manispaa Kahama. Haki zote zimehifadhiwa